0


 Mkutano wa sita wa bunge umeahirishwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambapo baada ya kutoa hoja hiyo Spika wa Bunge Job Ndugai alisimama kwa dakika kadhaa.

Katika kusimama kwake Spika Job Ndugai aliwataka Wabunge kusamehe makosa yote yaliyojitokeza katika kipindi chote cha Bunge kwenye ishu ya Wabunge kukamatwa na Polisi.

Post a Comment

 
Top