0




Klabu ya wekundu wa msimbazi, Simba SC leo wamelipiza kisasi kwa wajelajela wa jijini Mbeya,Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuwafunga mabao 3 -0, mabao yaliyo fungwa na Luizio, Ajib na Mavugo, mchezo ulipigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salam.
Mchezo wa kwanza simba wa lifungwa na Tanzania Prisons mabao 2-1 mchezo ulichezwa  mjini mbeya.


Post a Comment

 
Top